JavaScriptSDK

Wednesday, April 27, 2016

UJENZI WA MSIKITI MAKAO MAKUU WAZINDULIWA

Amir Sahib na Mbashiri Mkuu wa Jumuiyya ya Waislam wa Ahmadiyya nchini, Maulana Tahir Mahmood Chaudhry, amewaongoza waumini waliohudhuria Sala ya Ijumaa Masjidi Salaam katika maombi kumuomba Allah aubariki ujenzi wa majengo mawili ambayo ni Msikiti na nyumba ya makazI.



No comments: