JavaScriptSDK

Sunday, April 10, 2016

IJITIMAA YA KHUDDAM NA ATFAL 2016 KUFANYIKA MWEZI MEI

Majlis Khuddamul Ahmadiyya Tanzania inapenda kuwakaribisha wafuasi wa dini zote katika Ijitimaa ya Taifa kwa mwaka huu 2016 itakayofanyika kuanzia tarehe 20-22 mwezi wa Tano katika viwanja vya jamaat Ahmadiyya Kitonga, nje kidogo ya jiji la Dar Es Salaam. Nyote mnakaribishwa!


3 comments:

Unknown said...

Jazzakallah, tumeipata taarifa hiyo. Allah aifanye Ijtimaa ya khuddam Tz iwe na mafanikio. Amin

Unknown said...

Jazzakallah, tumeipata taarifa hiyo. Allah aifanye Ijtimaa ya khuddam Tz iwe na mafanikio. Amin

Unknown said...

Jazzakallah kwa taarifa